
Amekutext Inbox
Ukamuuliza we nani?
Akaujibu jina
Ukamuuliza umepata wapi namba yangu?
π
Akakujibu, nimepata kwa group
π
Ukachukulia poa tu
π
Amekuomba urafiki facebook
π€
Umeangalia picha zake
π±π½
Anaendesha Range
π
Anaonekana ni jamaa mwenye uwezo
π€
Umemkubalia urafiki
π₯
Amekutumia text inbox
π©
Umemjibu
π€
Amekuomba out
π«
Mkapanga kuonana
π
Ukajikwatua mwenyewe
π
Ukajipulizia na marashi ya kunukia vyema
πΉ
Ukaweka na make-up na weave mpya.
π
π
Akakuchukua kwa ajili ya lunch
π
π¨ kwa hotel
π©
Akakuagizia na soft drinks
πΉ
πΈ
Mkawa na muda mzuri pamoja
π
π
Akakushika mkono
ππΎ
Akakufanya uwe unacheka
π muda wote kwa vituko vyake
Ukampenda
π
Ikawa kama umemjua kwa miaka
π
Akakuchukua kwenda kwake
π‘
Akaweka mazingira ya wewe kujisikia upo kwako kwa kukuruhusu ulale kitandani kwake
π
Akakubusu kimahaba
π
Ukapenda jinsi alivyo romantic, nguvu na ujasiri
π€
Ukajisikia secure ukiwa nae
π
Ukajua kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu
π
Ukamwambia atumie kinga, akakuambia it's too late.
π
Ukamkubalia na hukutaka kumsumbua.
π
Akakuambia anakupenda na hukusita kumwambia unampenda pia.
π
π
Baada ya kumaliza akafungua friji na kukunywesha maji ya kunywa. Ukajihisi hapa mume nimepata
π€
Ukajihisi ni mwanamke special
ππ½
Atakuwa ndio yeye uliyekuwa ukimuota siku zote.
ππ½
Ukavua nguo
π
Mkafanya
π
Ukavaa nguo.
π
Akakuchukua mpaka sehemu zinakopaki taxi
π
Akakubusu katika shavu.
π
π
Nimekuwa na muda mzuri na wewe akakueleza.
ππ½
ππ½♂
Akakupa Tsh 100,000
π΅
π΄
π·
π·.
Ukatabasamu
π na kumwambia nitakuona kesho.
Akabaki kimya.
π€ Taxi uliyopanda ikaondoka.
π
Ndani ya taxi hukuacha kutabasamu
π
Ukafika nyumbani kwenu na kumwandikia text watsapp kwamba umefika salama.
π
Yupo online lakini hakujibu text yako
π€
Ukaamua kumtext tena, hakujibu!
π€
Dakika chache baadae humuoni watsapp unaona kivuli tu. AMEKUBLOCK!!
π
Siku, wiki, miezi ikapita ukaanza kujisikia homa homa
πͺ, mchovu
π£, uzito umepungua na utando mdomoni
π€
Ukaenda kituo cha afya
π
Ukapima
π‘
π
Nusu saa baadae daktari anaingia.
π³π½
Pole sana dada yangu daktari anakuambia.
π
Una maambukizi ya virusi vya UKIMWI na ni mjamzito vile vile
π.
Mimba, HIV+????
π³
HOW??
π
Hauelewi
π
Inakuumiza sana
π©, hauamini.
π¨
Unaenda nyumbani.
π
Ukiwa na hofu kubwa.
π°
Unaona kifo hichi hapa
π
Unatazama angani
π, na unauona mwisho wako huu hapa. Unajuta kumuamini mtu kirahisi hivyo.
π
Unarudi nyumbani, unahisi baridi unalala kitandani unajifunika shuka, kwa mbali unaanza kumuona malaika mtoa roho, unasema mbio za sakafuni zimeishia ukingoni...
*WASICHANA WANGU, MSIWE KAMA HUYU, ISHI VIZURI, ACHA KUTAMANI MATERIAL THINGS. KUWA MWANAMKE AMBAE UNGEPENDA BINTI YAKO AJE KUWA HIVYO.*
ISHI MAISHA YANAYOMPENDEZA MWENYEZI MUNGU PEKEE NA SIO BINADAMU.
SIJAKATAZA MSIAMINI WACHUMBA WA FACEBOOK na WHATSAPP ila chunga usipate BORA MCHUMBA
Akakujibu, nimepata kwa group
Ukachukulia poa tu
Amekuomba urafiki facebook
Umeangalia picha zake
Anaendesha Range
Anaonekana ni jamaa mwenye uwezo
Umemkubalia urafiki
Amekutumia text inbox
Umemjibu
Amekuomba out
Mkapanga kuonana
Ukajikwatua mwenyewe
Ukajipulizia na marashi ya kunukia vyema
Ukaweka na make-up na weave mpya.
Akakuchukua kwa ajili ya lunch
Akakuagizia na soft drinks
Mkawa na muda mzuri pamoja
Akakushika mkono
Akakufanya uwe unacheka
Ukampenda
Ikawa kama umemjua kwa miaka
Akakuchukua kwenda kwake
Akaweka mazingira ya wewe kujisikia upo kwako kwa kukuruhusu ulale kitandani kwake
Akakubusu kimahaba
Ukapenda jinsi alivyo romantic, nguvu na ujasiri
Ukajisikia secure ukiwa nae
Ukajua kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu
Ukamwambia atumie kinga, akakuambia it's too late.
Ukamkubalia na hukutaka kumsumbua.
Akakuambia anakupenda na hukusita kumwambia unampenda pia.
Baada ya kumaliza akafungua friji na kukunywesha maji ya kunywa. Ukajihisi hapa mume nimepata
Ukajihisi ni mwanamke special
Atakuwa ndio yeye uliyekuwa ukimuota siku zote.
Ukavua nguo
Mkafanya
Ukavaa nguo.
Akakuchukua mpaka sehemu zinakopaki taxi
Akakubusu katika shavu.
Nimekuwa na muda mzuri na wewe akakueleza.
Akakupa Tsh 100,000
Ukatabasamu
Akabaki kimya.
Ndani ya taxi hukuacha kutabasamu
Ukafika nyumbani kwenu na kumwandikia text watsapp kwamba umefika salama.
Yupo online lakini hakujibu text yako
Ukaamua kumtext tena, hakujibu!
Dakika chache baadae humuoni watsapp unaona kivuli tu. AMEKUBLOCK!!
Siku, wiki, miezi ikapita ukaanza kujisikia homa homa
Ukaenda kituo cha afya
Ukapima
Nusu saa baadae daktari anaingia.
Pole sana dada yangu daktari anakuambia.
Una maambukizi ya virusi vya UKIMWI na ni mjamzito vile vile
Mimba, HIV+????
HOW??
Hauelewi
Inakuumiza sana
Unaenda nyumbani.
Ukiwa na hofu kubwa.
Unaona kifo hichi hapa
Unatazama angani
Unarudi nyumbani, unahisi baridi unalala kitandani unajifunika shuka, kwa mbali unaanza kumuona malaika mtoa roho, unasema mbio za sakafuni zimeishia ukingoni...
*WASICHANA WANGU, MSIWE KAMA HUYU, ISHI VIZURI, ACHA KUTAMANI MATERIAL THINGS. KUWA MWANAMKE AMBAE UNGEPENDA BINTI YAKO AJE KUWA HIVYO.*
ISHI MAISHA YANAYOMPENDEZA MWENYEZI MUNGU PEKEE NA SIO BINADAMU.
SIJAKATAZA MSIAMINI WACHUMBA WA FACEBOOK na WHATSAPP ila chunga usipate BORA MCHUMBA
0 Maoni