
Amekutext Inbox

Ukamuuliza we nani?

Akaujibu jina

Ukamuuliza umepata wapi namba yangu?
π
Akakujibu, nimepata kwa group
π
Ukachukulia poa tu
π
Amekuomba urafiki facebook
π€
Umeangalia picha zake
π±π½
Anaendesha Range
π
Anaonekana ni jamaa mwenye uwezo
π€
Umemkubalia urafiki
π₯
Amekutumia text inbox
π©
Umemjibu
π€
Amekuomba out
π«
Mkapanga kuonana
π
Ukajikwatua mwenyewe
π
Ukajipulizia na marashi ya kunukia vyema
πΉ
Ukaweka na make-up na weave mpya.
π
π
Akakuchukua kwa ajili ya lunch
π
π¨ kwa hotel
π©
Akakuagizia na soft drinks
πΉ
πΈ
Mkawa na muda mzuri pamoja
π
π
Akakushika mkono
ππΎ
Akakufanya uwe unacheka
π muda wote kwa vituko vyake
Ukampenda
π
Ikawa kama umemjua kwa miaka
π
Akakuchukua kwenda kwake
π‘
Akaweka mazingira ya wewe kujisikia upo kwako kwa kukuruhusu ulale kitandani kwake
π
Akakubusu kimahaba
π
Ukapenda jinsi alivyo romantic, nguvu na ujasiri
π€
Ukajisikia secure ukiwa nae
π
Ukajua kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu
π
Ukamwambia atumie kinga, akakuambia it's too late.
π
Ukamkubalia na hukutaka kumsumbua.
π
Akakuambia anakupenda na hukusita kumwambia unampenda pia.
π
π
Baada ya kumaliza akafungua friji na kukunywesha maji ya kunywa. Ukajihisi hapa mume nimepata
π€
Ukajihisi ni mwanamke special
ππ½
Atakuwa ndio yeye uliyekuwa ukimuota siku zote.
ππ½
Ukavua nguo
π
Mkafanya
π
Ukavaa nguo.
π
Akakuchukua mpaka sehemu zinakopaki taxi
π
Akakubusu katika shavu.
π
π
Nimekuwa na muda mzuri na wewe akakueleza.
ππ½
ππ½♂
Akakupa Tsh 100,000
π΅
π΄
π·
π·.
Ukatabasamu
π na kumwambia nitakuona kesho.
Akabaki kimya.
π€ Taxi uliyopanda ikaondoka.
π
Ndani ya taxi hukuacha kutabasamu
π
Ukafika nyumbani kwenu na kumwandikia text watsapp kwamba umefika salama.
π
Yupo online lakini hakujibu text yako
π€
Ukaamua kumtext tena, hakujibu!
π€
Dakika chache baadae humuoni watsapp unaona kivuli tu. AMEKUBLOCK!!
π
Siku, wiki, miezi ikapita ukaanza kujisikia homa homa
πͺ, mchovu
π£, uzito umepungua na utando mdomoni
π€
Ukaenda kituo cha afya
π
Ukapima
π‘
π
Nusu saa baadae daktari anaingia.
π³π½
Pole sana dada yangu daktari anakuambia.
π
Una maambukizi ya virusi vya UKIMWI na ni mjamzito vile vile
π.
Mimba, HIV+????
π³
HOW??
π
Hauelewi
π
Inakuumiza sana
π©, hauamini.
π¨
Unaenda nyumbani.
π
Ukiwa na hofu kubwa.
π°
Unaona kifo hichi hapa
π
Unatazama angani
π, na unauona mwisho wako huu hapa. Unajuta kumuamini mtu kirahisi hivyo.
π
Unarudi nyumbani, unahisi baridi unalala kitandani unajifunika shuka, kwa mbali unaanza kumuona malaika mtoa roho, unasema mbio za sakafuni zimeishia ukingoni...
*WASICHANA WANGU, MSIWE KAMA HUYU, ISHI VIZURI, ACHA KUTAMANI MATERIAL THINGS. KUWA MWANAMKE AMBAE UNGEPENDA BINTI YAKO AJE KUWA HIVYO.*
ISHI MAISHA YANAYOMPENDEZA MWENYEZI MUNGU PEKEE NA SIO BINADAMU.
SIJAKATAZA MSIAMINI WACHUMBA WA FACEBOOK na WHATSAPP ila chunga usipate BORA MCHUMBA

Akakujibu, nimepata kwa group

Ukachukulia poa tu

Amekuomba urafiki facebook

Umeangalia picha zake

Anaendesha Range

Anaonekana ni jamaa mwenye uwezo

Umemkubalia urafiki

Amekutumia text inbox

Umemjibu

Amekuomba out

Mkapanga kuonana

Ukajikwatua mwenyewe

Ukajipulizia na marashi ya kunukia vyema

Ukaweka na make-up na weave mpya.


Akakuchukua kwa ajili ya lunch



Akakuagizia na soft drinks


Mkawa na muda mzuri pamoja


Akakushika mkono

Akakufanya uwe unacheka

Ukampenda

Ikawa kama umemjua kwa miaka

Akakuchukua kwenda kwake

Akaweka mazingira ya wewe kujisikia upo kwako kwa kukuruhusu ulale kitandani kwake

Akakubusu kimahaba

Ukapenda jinsi alivyo romantic, nguvu na ujasiri

Ukajisikia secure ukiwa nae

Ukajua kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu

Ukamwambia atumie kinga, akakuambia it's too late.

Ukamkubalia na hukutaka kumsumbua.

Akakuambia anakupenda na hukusita kumwambia unampenda pia.


Baada ya kumaliza akafungua friji na kukunywesha maji ya kunywa. Ukajihisi hapa mume nimepata

Ukajihisi ni mwanamke special

Atakuwa ndio yeye uliyekuwa ukimuota siku zote.

Ukavua nguo

Mkafanya

Ukavaa nguo.

Akakuchukua mpaka sehemu zinakopaki taxi

Akakubusu katika shavu.


Nimekuwa na muda mzuri na wewe akakueleza.


Akakupa Tsh 100,000




Ukatabasamu

Akabaki kimya.


Ndani ya taxi hukuacha kutabasamu

Ukafika nyumbani kwenu na kumwandikia text watsapp kwamba umefika salama.

Yupo online lakini hakujibu text yako

Ukaamua kumtext tena, hakujibu!

Dakika chache baadae humuoni watsapp unaona kivuli tu. AMEKUBLOCK!!

Siku, wiki, miezi ikapita ukaanza kujisikia homa homa



Ukaenda kituo cha afya

Ukapima


Nusu saa baadae daktari anaingia.

Pole sana dada yangu daktari anakuambia.

Una maambukizi ya virusi vya UKIMWI na ni mjamzito vile vile

Mimba, HIV+????

HOW??

Hauelewi

Inakuumiza sana


Unaenda nyumbani.

Ukiwa na hofu kubwa.

Unaona kifo hichi hapa

Unatazama angani


Unarudi nyumbani, unahisi baridi unalala kitandani unajifunika shuka, kwa mbali unaanza kumuona malaika mtoa roho, unasema mbio za sakafuni zimeishia ukingoni...
*WASICHANA WANGU, MSIWE KAMA HUYU, ISHI VIZURI, ACHA KUTAMANI MATERIAL THINGS. KUWA MWANAMKE AMBAE UNGEPENDA BINTI YAKO AJE KUWA HIVYO.*
ISHI MAISHA YANAYOMPENDEZA MWENYEZI MUNGU PEKEE NA SIO BINADAMU.
SIJAKATAZA MSIAMINI WACHUMBA WA FACEBOOK na WHATSAPP ila chunga usipate BORA MCHUMBA
0 Maoni