Image result for beautiful girls in jeans top

Dea girl ukiona mwanaume anasupoort nguo zako fupi unazovaa....anasuport outing zako za club...umevaa jens zilizowaz magoti ndio anakusifu baby umependezA...umechora matatoo mwili mzima afu anakuongezea na ideal za kuchora mengine..my dear sister ndoa utazidi kuziona kwenye account ya mc edwin luvanda..labda malaika wa pepon waje waokoe jahazi....!!hata mwanaume muhuni vipi hayuko tayari kuoa mwanamke anayekesha club na nguo zinaonesha mpk kisimbuzi!!!ndugu yangu ukiona hakomai kukubadilisha uache hata kwenda disco tu..ujue wewe ni daraja..., unamsindikiza kwenye ndoaa na wife material anayepigana kumbdalisha tabiaa...sasa ndugu yangu nywele zenyewe umeweka mabrich kama hamornaze hata hakukatazi ndio kwanza anakupa na hela ukazifanyie update afu bado unawaz ndoa!!!labda ya ndotoni!!!!
Upo nyonyo.. Nuna ila ndio imepenya na hakuna uzee mbaya na wa kishamba kama ukukute na hizi mambo za kitoto.. Wewe una kufa hujawahi kukua