WADADA



Related image

mapenzi


Wadada
Napendanga kuwaweka wazi 24 hours per day
Kila sekunde
Sikiliza hiki kitu na ulewe.
!!hakuna mwanaume anayekuwa anakupenda siku ya kwanza anapokutongoza!anakuwa amekutamani kichwan mwake anakuwa anawaza sex sex sex tu!!mwanaume anapanza kufikiria kukutongoza anakuwa anaongozwa na tamaa kubwa ya kingono kuliko kupenda...upemdo unakuwa unasoma 0%.mwnaume anapenda baadaye sanaa...!!anapokutongoza mara ya kwanza pia mwanaume huwa hawazi ndoa akilin mwake anawaza sex sex..yaan kile kiswali cha kijinga unachokuwa unauliza eti umenipendea nini!?au unanipenda kweli unajidanganya tu!!hakuna mapenzi ya mwanaume siku ya kwanza anapokutongoza wala hakuna future yoyote na ww a ayokuwa anaiwaza!!mwanaume ataanza kukupenda ndani ya mchezo yaan kadri munavyozidi kuishi ndivyo chuma kitavyoziidi kushika motoo..!!na usishangae ukawa unasex naye miezi hata sita asiwe amekupenda ..chuma kikaanza kushika moto hata baada ya mwaka.!!!mwanaume anaanza kufikilia ndoa na ww baada ya kuona una vitu vya ziada
.. Kwanza anazanga kukupimia kitu cha kijinga kweli je unamkoleza kitandani, je ni msafi kwenye siri yako je una yaweza je huna harufu za ajabu kwenye maumbile yako je una uke mpana au una bana hivi vitu ndio anakupima navyo ndio akimaliza hapo aanza kukupima haya
.. Je unaakili ya ziada na je una mipaka fulan uliyojiwekea heshima ..unaamini akili yako kuliko umbo..huna vibomu vya kitoto..unawaza mambo makubwa!!!anaweza kuishi na ww hata miaka minne akikuhonga na kuvumilia vibomu vyako afu akakubwga ghafla na kuoa mtu hata ambaye hukuwahi kusikia ana mahusiano naye!!wanaume wengi wanaogopa kuishi na mwanamke mwenye matumizi makubwa ya kipesa!!!, atakuhonga sana huku kwenye boyfriend na girlfriend lakin moyoni anajua kabisaa hapa hapafai!!!..mwanamke jifunze kubadilisha mfumo wa maisha hasa pale unapoamua kutafuta mtu wa maisha!!pesa zako haziwez zikakupa mume unayemtaka ila zitakupa mtu wa kukusaidia kutumia ..ukidhan kisa unakazi nzuri basi hata ukiwa na tabia za hovyo utaolewa tu my dear unajidanganya utampata mchumia kivulini siku ukiingia juan hutamuona...!!ni tabia tamu na kumuomba MUNGU tu ndizo zitazokupa mume wa maisha.nimetoa password. nivumilieni.
Pakua App hii kwa link hapochini upate kusoma na kuelimika na kuburudika kwa mengi au bonyeza juu hapo kwenye page kwenye Use App Ahsanteni kwa ushirikiano wenu
https://play.google.com/store/apps/details…

Chapisha Maoni

0 Maoni