MKUNA NA MKUNWAJI

Image result for NAZI NZURI


Haya leo tukumbushane fumbo adhwim wana jamvi,mkuna na mkunwaji yupi mwona raha!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ halooooo!!! Bila shaka mkunaji huona raha lkn mkunwaji ndo hua taabani zaidi kwa kila hali,mwafulani raha ya nazi ikunwe kwa madaha na matao,nazi haikunwi kwa namna moja tu pekee laaa!! Nazi ili ikunike sharti mkunaji awe anachezesha kulia kushoto,kushoto kulia juu chini,chini juu mwisho chicha hiloooooo limejaa pomoni upo mwaliiiiπŸ‘ŒπŸ»πŸ‘ŒπŸ». Nazi ikipata mkunaji hua yatoa milio na kulalama kwa namna yake hapana mfanowe!! Nazi haikunwi kwa mkono mmoja sharti isukumwe taratibu kwa mikono miwili bibi.
Muhali mkunaji kuikaza shingo yake akunapo nazi😘
Nazi ikipata mkunaji haina budi kufata sheria na mwendo tena wala haisumbui ikang'ang'ana kifuuni hii ni ishara nazi hupata raha ikikunwa na mkunaji mweredi.

Mbuzi ikiwa ya bandu bandu utapataje chicha? Nakushtua mkunaji itie makali mbuzi yako isikuharibie mambo,MKUNAJI HUONA RAHA LKN MKUNWAJI NDO YU TABAANI KWA RAHA 🀣🀣🀣🀣 somo hilo wari wanguuu. Waitiaje makali sasa hiyo mbuziii

Chapisha Maoni

0 Maoni