Miguu na kungonoana
Najua uko a bit bored hahaha usijali leo ni mwisho wa maelezo kuhusu mpangilio wa vitu/viungo ambavyo huwa tunavitumia kila tunapofanya mapenzi nikimaanisha, nywele, macho, masikio, pua, midomo, matiti, tumbo, sehemu nyeti na leo namalizia na miguu.
Tunatembea tofauti kutokana na jinsia zetu, hii ni kutokana na sisi wanawake kuwa na "nyonga" pana kuliko wanaume ambayo hutusaidia wakati wa kujifungua.
Utumiaji wako wa miguu unaweza kutuma ujumbe tofauti wakati unatembea kama vile umeshoka, unaumbwa, mvivu, unajisikia "sexy" au unajiamini na bila kusahau ukumtaka mtu au kutomtaka.
Miguu ya kukanyagia(feet) hutumiwa kabla (kama sehemu ya romance/kuchezeana/nyegeshana) na wakati wa kufanya mapenzi.
Unapofanya mapenzi mwanmke ukiwa chini unakunja miguu yako nakuipumzisha makalioni mwa mpenzi wako aliye juu aykiendelea na "shughuli" na kisha jaribu kupiga au kukanda makalio ya mumeo/mpenzi wako hali inatakayo muongezea raha (inategemea na mwanaume), pia unaweza kuitumia miguu hiyo kumkanda sehemu za miguu na mapaja wakati mnatiana, hivyo ni muhimu kuitunza miguu yako ili iwe katika hali nzuri, laini na yenye afya.
Wanawake unavutia zaidi tukitembea juu ya viatu vyenye visigino virefu...unajua ni kwanini?
Kwa sababu unapovaa kiatu kirefu (kisigino kirefu) utahitaji ku-balance uzito wa mwili wako kwa kukaza misuli ya miguu hasa sehemu ya chini(feet) hali itakayo sukuma nguvu kwenye misuli ya miguu (legs) hali itakayofanya miguu yako iwe na umbile fulani hivi ambalo litakwenda sambamba na kunyoosha mgongo wako-kifua kwenda mbele-mabega nyuma kiasi, kiuno na makalio kubinuka kwa nyuma kiaina alafu "speed" ya kutembea itaongezeka kitu ambacho kitahashiria kujiamini kwakoo hali ambayo ndio u "sexy" yenyewe.
Sote tunatambua jinsi ya kutunza miguu yetu sio? Kama hujui niandikie nikupe tips.
Miguu (feet na legs) hufanyiwa mazoezi ambayo hukusaidia kui-shape up miguu yako na kuifanya iwe na nguvu hali kadhalika kuwa- flexible. Mazoezi haya hayaongezi ukubwa wa miguu (get rid of vingoko) bali inajaza misuli itakayo fanya miguu yako ipendeze na kuvutia...sizungumzia "ving'isi" a.k.a vigimbi.
Asante kwa ushirikiano wako
0 Maoni