NYOO NIPE MUMEO 73

Tena mwenyewe alikiri kuona nimebadilika sana kitandani, kwanza kwa mkwara sikujipulizia marashi ya aina yoyote zaidi ya harufu ya udi niliojifukiza tangu nilivyotoka kwa Kungwi wangu. “I want to show something else you ready! (nataka kukuonesha kitu kingine upo tayari!” nilimwambia Mr X akaniambia yupo tayari basi niikamchukua bakari-kichwa wake aliyesinzia na kuanza kumpitisha kwenye ngozi ya paja langu laini kama vile nanoa kisu. Huwezi amini njia hii ya kuamsha dyudyu iliyolala baada ya cha kwanza, nilijifunza zamani sana enzi zile za darasa la Mr X part One.
Kwa sekunde chache tu niliona mlingoti ukineema, basi nikaupandia kwa juu nikageukia ukutani huku yeye nikimuachia mgogo. Staili hiyo kule Marekani wanaitaga Reverse Cowgirl ukiacha ile Cowgirl ya kawaida ambayo mimi ningegeuka na kumtazama yeye, lakini hiyo ilikuwa kinyume chake.
Basi nikamshikilia miguu na kuanza kuimeza mashine yake robo, nusu na ikaingia yooote. Sasa hapo ndo nilitaka kumuonesha ule ufundi wa kunyanyua tako moja kiasi kwamba hata kama akisikia kwa Fatuma aone hakuna jipya.
Niligeuka na kumtazama Mr X aliyelala akisikilizia kitu gani nataka kufanya, na mimi wala sikuwa na haraka maana kuku wangu mwenyewe kwanini nimvizie na mawe?
Nikaanza kupanda juu taratibu na kunyanyukia kama vile naendesha baskeli, halafu utamu ulipokolea nilistop ghafla na kuanza kunyanyua tako moja juu kisha nikapandisha jingine, halafu nikaendelea na viuno mgandisho ambavyo najua hakuwahi kuviona. Nikarudia tena na tena, nilijua fika kwa kuwa alikuwa akiniangalia kwa nyuma yaani mgogoni, aliweza kuniona vizuri sehemu zangu za nyuma zikitikisika.
NYOO NIPE MUMEO 74
Huwezi amini siku hiyo ndiyo nilijua kuwa wanaume wanachanganywa sana na macho yao tu, maana kwa mtindo wa kumchezeshea tako tu, Mr X wangu hakuchukua hata dakika mbili. Nilianza kumuona akinishikilia kama anataka kudandia ukuta. Akanimwagia kwa mara ya pili.
Sikutaka kumchosha sana. Tukaenda kuoga na kurudi kitandani, tuliporudi tu Mr X alizidi kunisifia na kuniambia anajihisi kila saa mashine yake ikimsisimka kwa utamu niliompa, nikafananisha maneno hayo na yale aliyosema Steve baada ya kutembea na Fatuma. Nikajiuliza ina maana hata baba naye anajisikia hivyohivyo au?
Ina maana kumbe mwanaume akiridhishwa kiwango cha mwisho anakuwa anajisikiaga hivyo eeh? @Charles13jr @kinambari @masoud_k_k
“Mke wangu kama ndiyo umefundishwa hayo mambo, basi inabidi uwe unaenda kujifunza zaidi, lakini nataka uwe unatokea nyumbani, sitaki tutengane tena,” alisema Mr X nikaona kweli amekolea.
Huwezi amini wakati tumelala pale hotelini, katikati ya usiku akaniamsha na kuniomba tena, maana alisema hawezi kulala, nikampa cha kiuvivu alipomaliza haja zake akanifuta kwa kanga niliyobeba na kulala pembeni yangu, lakini alichonishangaza akaichomeka nanihii yake tena ndani ya kipapatilo changu eti akisema anatamani nilale nayo ikiwa ndani.
Nikafurahia moyoni kuwa kweli leo Mr X nimempata, basi na mimi nikalala na pipi yangu mdomoni.
Raha siyo rahaaa!?
Itaendelea…
NYOO NIPE MUMEO 75
Asubuhi mapema mno tukiwa tumeoga safi,tulienda kwenye restaurant ya ile hoteli tuliyolala na kufungua kinywa, mume wangu akaagiza Capuccino na mimi nikaamua tu kunywa maziwa na kuchanganya na kahawa safi.
Tulirudi nyumbani tukiwa tumeshikana mikono na Mr X wangu kwa mapenzi mazito kiasi kwamba hata mama alipotuangalia alijisikia faraja.
Ama kweli Mungu kaumba watu, japokuwa mama alikuwa na msogo wa mawazo yake kuhusu baba lakini aliweza kuficha majonzi yake vyema ndani ya vungu za moyo wake na kututazama kwa tabasamu kama vile hakuna kitu kinachomsibu.
Nikawa nastaajabu kuna wanawake wangapi duniani wana moyo wa upendo na uvumilivu kiasi hicho lakini wanaume hawawathamini na zaidi wanawatesa kila uchwao.
Sikuweza kuendelea kumshika mkono Mr X kwa kuwa nilijisikia vibaya, maana siwezi kuonesha mahaba yangu mbele ya mama ambaye ndo kwanza mapenzi anayasikilizia bombani.
Angekuwa kijana kama mimi ningempeleka kwa Bi Gululi ili naye akafundwe, lakini kwa kuwa umri wake ulikuwa umeenda, kulikuwa hakuna cha kukiokoa, nikamuachia mwenyewe aendelee na maombi yake maana kila mara hujifungia ndani kwake akisali rozali.
“Siwezi kukaa tu hivi lazima nimsaidie mama,” nilisema nikimwambia Mr X baada ya kumpokea Kendrick kutoka kwa dada.
“unataka kumsaidia kivipi?” alihoji Jermaine.
“kama baba kweli haoni wala hasikii kwa Fatuma, cha kwanza kabisa, sitaki umpe baba hela yoyote, nataka hela zote kuanzia mahali yangu zipitie kwa mama, najua akikosa hela za kuhonga, penzi lake na Fatuma ndiyo litakuwa mwisho,” nilisema.
“hapana Mary, wewe unaongea tu lakini mimi mwanaume; anapokuja baba yako kuniomba hela ya kununua nguo nitaanzaje kumnyima?” aliuliza Mr X nikaona kweli kwa mkwe kumnyima ni ngumu, natakiwa kufikiria cha kufanya tena nifanye haraka mno.
Wakati huo baba alikuwa ndo anatoka kuamka, alipotuona alitabasamu na kujaribu kuongea na Jermaine kwa kiingereza chake cha shule ya Mkoloni.
NYOO NIPE MUMEO 76
“Hallow Mr Jermaine. Me is seeing you there. Is the morning great! Is’nt it” aliongea kwa kuungaunga, basi mimi kuona tu sura yake alikuwa ameshanitumbukia nyongo, nikaamua kuingia zangu ndani na mwanangu.
Kichwani nikiwaza nitamkomoaje baba, na huyo Fatuma wake ili waachane? Sikupata jibu.
Ilipofika mchana hivi wakati tunaandaa chakula, mimi nikatoa wazo kwa wenzangu kuwa tungeenda familia nzima ufukweni kubarizi, na hasa kumtembeza mama ambaye alizoea tu kukaa nyumbani.
Wazo hilo likaonekana kufurahiwa mno hasa na dada yangu Mage, basi mida ya saa tisa tu, tulikodi taksi na kuondoka zetu tukielekea Kawe, tukiitafuta bichi ya Piccolo Hoteli.
Tulitulia hapo huku kila mtu akivinjari kwa mtindo wake, mimi vile ninavyoyapenda maji, nilirukia kwenye swimming pool na nguo zangu za kuongelea nikawa nashindana na dada nani atamshinda mwenzake kufika kulee na kurudi huku mwanzo.
Tukawa tunaenda mwanzo hadi mwisho, lakini kote huko mimi nikiibuka kidedea. Mchezo mzima ukawa unaboa maana kila saa nilishinda mimi tu. Basi tukapiga mapicha ya kutosha, nyingine nikaomba dada Mage anipige nikiwa nimebebwa na mume wangu na mapozi kibao ya aina hiyo.
Palepale sikukawiza nikabadilisha dp yangu ya Whatsapp na kuweka picha yangu na Mr X tukiwa penzi penzini nikaandika status, “Forever and a day”.
Huwezi amini dakika mbili nyingi, nikapokea ujumbe kutoka kwa Hadija; “Mh shoga mmeenda bichi hata kuniambia na mimi nije?” Nilijua nia yake, nikamtumia meseji nikimwambia; “shoga ni mtoko wa kifamilia nitakushtua siku nyingine,” basi najua ilimgusa kweli maana alifyata kimya.
Dakika chache baadaye niliona simu ya Gululi pia ikiingia, nikapokea; “hallow shoga, mambo?”
“poa tu za tangu jana!”
NYOO NIPE MUMEO 77
“safi.. nia ya kukupigia shoga yangu, kama nilivyokwambia huyu Hadija siyo mtu mzuri hata kidogo, hapa ninavyokupigia, jana wewe unatoka mwenzako Hadija anaingia. sasa unajua alichokifanya?” alisema Gululi akiniuliza swali lisilo la msingi, maana yeye ndiye aliyejua alichokifanya Hadija, sasa ananiuliza mimi nitajuaje sasa!
“amefanyaje?”niliuliza kwa utulivu nikijitahidi kushusha shauku yangu “alipokuja alianza kuniomba nimuelekeze tena jinsi ya kuangalia majina kwenye simu, akaingiza namba yako kabisa, tena akaangalia jina lako kwa siri niliona limeandikwa Mary Geofrey, si ni jina lako?” alisema Gululi moyo wangu ukianza kupiga kwa kasi.
“ndio ni jina langu?” niliitikia kwa hofu, wakati huo mume wangu alinisogelea na kuniuliza kulikoni maana nilionekana kujaa mashaka. Nikajichekesha kama vile hamna kitu, alipoondoka nikaweka simu sikioni tena.
“kwa hiyo unadhani anaenda kuniroga kwa mganga si ndiyo?” “ndiyo ninavyokwambia shoga yangu, mwanzoni alichukua la mumeo, sasa hivi jina lako. Sasa hayo tisa kumi ni kwamba, wakati nimeenda kuoga, shoga yule si alikuwa akilipekua begi lako la nguo, sasa kama kuna kitu ulikiweka hovyo shoga njoo ukiangalie asije akawa amekuibia.
“haya usijali nitakuja kesho,” nilimjibu Gululi kwa utulivu kana kwamba sikuwa naogopa chochote kumbe alikuwa amenivuruga mno. Ile raha ya kurukaruka tena ufukweni iliisha. Giza lilipoingia tulirudi zetu nyumbani.
Kesho yake mapema nikamuaga mume wangu kuwa naenda kwa kungwi, akanipa baraka zote.
Nilipofika tu, Gululi akanipokea kwa nguvu zote, japo kuwa alinieleza umbea wote jana lakini akaurudia tena siku hiyo, nikaingia harakaharaka kuangalia kwenye begi langu kama kuna kitu gani ambacho Hadija alikuwa akikitafuta.
Katika kupekuapekua nikashangaa chupi yangu moja siioni, nikamuuliza Gululi kama pengine aliiona nimeianika na kusahau, lakini alikataa katakata.
“we Mary! Au ndiyo Hadija ameichukua! Mama yangu kweli yule ameenda nayo kwa mganga na inaonekana hilo dudu analolitengeneza siyo mchezo! shoga jiandae,” alisema Gululi, nikazidi kuogopa.

Image result for sexiest black girls

Chapisha Maoni

0 Maoni