NYOO NIPE MUMEO 37

NYOO NIPE MUMEO 37
Baada ya kushuka mwenzangu akaanza kuongea na simu kwa ajili ya kuelekezwa kwa kwenda, basi palepale kituoni Chanika Mwisho tukasubiri, akatumwa mtoto mmoja hivi akaja kutuchukua, tukaanza kuingia ndanindani.
Kwa umbali wa dakika chache tukawa tumefika kwenye nyumba moja iliyomaliziwa vyumba viwili tu huku upande mwingine ukiwa na nyumba ya udongo.
Tukamsalimia mwenyeji wetu ambaye ni mdada mmoja hivi saizi yetu mimi na Hadija. Yule mdada akiwa ametuchangamkia akatueleza kuwa Bibi Gululi alikuwa anaoga hivyo tumsubiri hapo sebuleni. Sasa mimi akili yangu ikadhania kuwa huyo Bibi Gululi alikuwa bibi haswaa, lakini nilishangaa alipokuja maana japo alikuwa mtu mzima lakini hakuwa mzee kiasi hicho.
Alipofika alitusalimia lakini kwa Hadija alimchangamkia kweli hadi wakakumbatiana nikathibitisha kuwa kweli walikuwa wakifahamiana kwa muda mrefu, basi akatutaka tusubiri mara moja wakati yeye anaingia ndani na kuvaa.
Kilichonishangaza mimi ni kwamba yule bibi akiwa hukohuko chumbani, nikasikia akimuita yule mdada na kumtaka ampelekee moto kwenye chetezo, alipopelekewa nikasikia harufu ya udi ukifukizwa.
Hadija aliyejiachia pale ndani kama kwake, akasema kwa sauti; “Mh Bibi Gululi kumbe na wewe haujambo?”
Yule bibi hakujibu kitu hadi alipotoka, akiwa amependeza ndani ya dela lake huku kichwani akiwa amejifunga kilemba vizuri.
“Hadija! Mwanamke usafi mwanangu.” Alisema Bibi Gululi na kuja kukaa kitako kwenye kigoda, sisi tuliokaa kwenye viti kwa heshima tukashuka chini na kukaa kwenye mkeka, yule mdada aliyetukaribisha mwanzo naye akaja na kukaa pale chini na sisi.
“Enhee wanangu niambieni, kipi kilichokunyanueni miguu yenu kuja hapa?” aliongea Bibi Gululi, ikabidi nimuachie mwenzangu aongee na kuanza kwa kunitambulisha.
NYOO NIPE MUMEO 38
“Bibi, nadhani unanikumbuka nilikuwa mkoleni Masasi, mwaka 1999 kipindi kile cha Mwenyekiti Abdarahmani,” aliongea Hadija, Bibi Gululi akacheka na kumkatiza akisema; “Ha! We Hadija nikusahau mie! Umenichukulia mzee sana au?”
“Mh haya! bib, huyu ni mwenzangu niliyekwambia anaitwa Mary, tumekuja kwa ajili ya yale matatizo na wewe tu ndiyo wa kutusaidia,” alisema Hadija.
“Karibu Mary,” alisema Bibi Gululi akatutambulisha yule mdada tuliyekaa naye kuwa ndiye Gululi mwenyewe ambaye ni mwanaye. Basi yule bibi akawa kila akiongea ananiangalia sana mimi hadi nikaona aibu.
Ikabidi Hadija aanze kumuhadithia mwanzo mwisho kuhusu masahibu yake, na mimi ikabidi nimuelezee yangu, lakini alishtuka baada ya kujua kuwa Fatuma ndiye aliyetuliza wote wawili.
“Fatuma yuleyule mwali kigego?” aliuliza Bi.Gululi kwa mshangao.
“Ndiyo huyohuyo bibi, amekuwa moto wa kuotea mbali, fisadi wa kuvunja ndoa za watu huko mtaani,” alijibu Hadija.
“Mh! Kazi ipo?”
“kwa hiyo wewe Mary, haujawahi kuchezwa?” aliniuliza Bibi Gululi.
“kwetu hatuchezwi bibi.”
“anhaa! Hee poleni wanangu poleni sana,” alitupoza moyo Bibi Gululi, akaanza kutuambia mengi kuhusu umuhimu wa mwanamke kuchezwa na kuzingatia mafunzo yote baada ya kuolewa. Akatuambia kuwa hata mwanaye Gululi naye alikuwa na tatizo kwenye ndoa yake maana mumewe kamtelekeza na mtoto ndilo hasa jambo lililomfanya yeye aje hapa Dar kwa ajili ya kumfariji.
Nikajiuliza inakuwaje mtoto wa Kungwi naye akaachika au ndo ukaribu wa Kanisa sio ndiyo kusali sana. Bibi Gululi kama alijua mashaka yangu akasema kuwa Gululi naye ni kama mimi hakuchezwa kwa sababu alikuwa akiumwa sana kipindi cha usichana wake. Akakumbuka kuwa hata Hadija alikuwa mdogo sana kiumri hivyo kuibiwa mumewe na wanawake wajanja kama Fatuma ilikuwa ni jambo la kawaida tu. Kwa hiyo wote hapo tulikuwa sawa tu.
NYOO NIPE MUMEO 39
“Kwa kifupi mimi nimekubali nitawafundisha kila kitu nyinyi ni watu wazima, hivyo natarajia mtajifunza haraka sana ndani ya wiki tu tutakuwa tumeshamaliza kutegemea na ratiba yenu. Ila mna kazi kubwa kama mtu mwenyewe mnayeshindana naye ni Fatuma huyuhuyu niliyemfunda mimi.”
“Bibi kwa nini unasema hivyo?” niliuliza maana niliona ananikatisha tamaa.
“Fatuma kwanza alipokuja kwenye Chiputu changu hakuwa mtoto kama wengine alikuwa ameshavunja ungo miezi sita kabla, pia niligundua kuwa mama yake aliwahi kumpeleka unyago wa Kizaramo kabla ya kuja kwangu, kwa hiyo alikuwa mtundu sana wa kuuliza maswali ya vitu ambavyo alikuwa havijui nadhani kilichomsaidia sana kingine ni kutokana na yeye kuanza mambo ya kikubwa mapema, ndiyo maana akapewa hilo jina la mwali kigego,”
“Mh sasa kwani bibi wewe ulimfundaje huyo Fatuma sisi ukashindwa?” aliuliza Hadija.
“Itabidi nisiwafunde kwa utaratibu wa Kimakonde peke yake, nitatumia utaalamu wote wa pwani ninaoujua na nyinyi inabidi mjifunze sana,” alisema Bibi Gululi nikamtazama Hadija naye akanitazama mimi, wote tukakubali kuwa hatuna budi kufanya anachotuambia.
“Sawa wanawali wangu, kwa kuwa nilikuwa pia na mafunzo ya mwanangu basi itabidi niwaunganishe wote watatu, lakini leo kwa kuwa mmetoka mbali nataka msiondoke bure. Nitamuita mmojammoja ndani ili niwakague kwanza.” Alisema Bibi Gululi huku akiamka na kuingia kule ndani.
Akaanza kumuita Hadija, wakakaa kama dakika tano hivi kisha Hadija akatoka. Akafuatia kumuita mwanaye naye hivyohivyo akakaa dakika tano, kisha nikafuata mimi.
Nilipoingia akaniambia nilale kitandani halafu nimuoneshe uchi wangu, nikashangaa lakini nilifanya kama alivyoniambia nikapandisha gauni kwa juu na kuvua chupi kisha nikatanua miguu, huku akikunja sura, akaniambia nivae.
“unatumia nini kunyolea bustani yako?” aliniuliza Bi. Gululi.
“natumia kiwembe.” “mh ndiyo maana,” alisema Bibi Gululi nikawa ninastaajabu kwa nini aliniambia maneno hayo na kwanini alikunja sura wakati aliponiangalia uchi wangu.
Je, ni kwanini? usikose kesho..
NYOO NIPE MUMEO 40
“Mwali wangu unakosea sana, wewe hauoni ulivyokuwa na rasharasha kama kuku ametoka kunyonyolewa, halafu kipapito kimechunjuka kama siyo mrembo bwana aah,” alinisema Kungwi Bibi Gululi nikashangaa mbona mimi nilijiona msafi tu kuanzia sura hadi uchi wangu.
“Ngoja nikuoneshe,” alisema Bibi Gululi akapandisha gauni lake na kulala pale kitandani utupu akaniambia; “haya niangalie mimi.
Mh jamani japo kuwa alikuwa mtu mzima lakini nilipochungulia niliona kile kipapito chake kikiwa kumeumuka vizuri na kilikuwa na ngozi kama ya mtoto mdogo, yaani hakuwa na unywele wala kijipele kilichochomoza, tofauti kabisa anavyoonekana kwa nje. Mh kweli wanawake wa kimakonde noma.
“Usiogope, papasa kwa mkono hapo juu kwenye ngozi ya bustani uone kama kuna urashirashi wowote wa nywele,” alisema Bi. Gululi basi nikapeleka mkono wangu kwa woga na kupapasa, yaani alikuwa mlaini hadi nikashangaa. “mwali wangu, wenzako wote wapo kama mimi, lakini wewe tu ndiyo nimegundua upo tofauti, tatizo unanyolewa wembe na hayo madawa yenu sijui shevu! si vizuri kwa mwanamke kwa sababu unapoteza umbo la kipapo chako kinatakiwa kitune vizuri kivutie mwanaume hata kwa kukiona tu.” Alisema kungwi wangu akawa amenichanganya.
“Ina maana bibi, mimi changu hakijatuna kwa sababu ninanyolea wembe?”
“ndiyo mwali wangu, wenzako wakiwa ndo kwanza wamelumuka mwogo yaani wakiwa wamevunja ungo na kuota vile vimalaika vya kwanza tu, hupakwa jivu au asali mbichi halafu hunyolewa kwa kuvivuta vyote na Likolo wake, na hivyo ndiyo wanatakiwa kunyoa siku zote, ili kushepu kitumbua chako kiumuke vizuri, kiwe na ngozi laini na hata nywele zinachelewa sana kuota,” alisema Kungwi wangu.
“Mh makubwa! sasa mimi mtu mzima, kweli kinaweza kuumuka kama wewe kama nitanyoa unavyosema?” niliuliza kwa shauku kweli.
“mh hilo sina uhakika nalo nisikudanganye.”
NYOO NIPE MUMEO 41
Basi baada ya kuniambia hivyo tukatoka pale sebuleni kwa wenzangu, kichwani nikawa nakumbuka maongezi ya Steve aliposema kuwa alikiona kitumbua cha Fatuma kimeumuka tena kina meremeta. Hakika kinaweza kuwa sawa na cha Kungwi pamoja na akina Hadija kama nilivyoambiwa.
Sasa nikajisikia mpweke kuwa ni mimi pekee ambaye ndo sina kitumbua; sijui nina chapati maana nilikuwa flati tu hapa juu.
“wanawali wangu, mwanamke yoyote anautamu tofautitofauti kutegemea na Mungu alivyomuumba, lakini kikubwa inategemea na alivyofundwa kwa sababu hakuna mtu anayezaliwa na kujua tu mapenzi bila kufundishwa.
“Utamu wa mwanamke unatengenezwa kwanza na kauli yako mwanamke kwa mumeo, pili sauti yako muwapo faragha, tatu muonekano wako kuanzia mavazi, urembo na vikolombwezo kibao, lakini cha nne wanamwali zangu ni utundu wa juu ya kitanda.
“Mungu kamuumba mwanaume vizuri sana, yaani hana shida yeye kama vile mtoto tu, anachokiona anakitamani anakitaka kukishika na kukitia mdomoni, akikiona kitamu hata akikinai, kesho atarudi tena mwenyewe.
“sasa nyie wanawali wangu mnatakiwa mjue akili hiyo ya wanaume, na ubaya zaidi kwenu, najua wote hapa mna watoto, na mkishazaa mnajua lazima kule ndani kuwe kumetanuka tofauti na mlivyokuwa zamanii.
“tena vifua vimekushukeni na shombo maziwa ikiwa ndio harufu yenu, wakati huo kumbuka zamani ulivyokuwa unavutia mwali mbichii. Hapa ndiyo wanaume wanakosaga uvumilivu na kulazimika kuchepuka tena kwa wasichana wadogo nje huko.
“Sasa tatizo lisiwe ameenda kwa mtu fundi kama Fatuma huyo ndio harudi tena,” alisema Kungwi yote nikaona kama madongo kwangu nikawa na wasiwasi hivi ndo tangu nizae nimekuwa siyo mtamu tena kwa Mr X kama mwanzo, kwa sababu kipapito changu kimelegea au? Nikiwa najiuliza hayo Kungwi aliyekuwa akiendelea kuongea yake akaongea pointi moja kubwa ambayo ndiyo nilikuwa nikiisubiria kwa hamu.
NYOO NIPE MUMEO 42
“lakini pamoja na hayo yote wanamwali wangu, Mungu kaumba vitu ambavyo vitakusaidia kurudisha heshima yako kitandani na kuonekana mbichi kama vile haujazaa, uke wako utakaza kama kawaida, nitakufundisha jinsi ya kujiswafi, jinsi ya kummudu mwanaume, kiasi kwamba hata huyo Fatuma ataonekana upuuzi mtupu mbele ya waume zenu. na kwako mwanangu Gululi huyo mumeo atarudi mwenyewe tena kwa kukupigia magoti,” alimaliza kusema Kungwi wetu kidogo nikapata moyo sasa.
Tukaagana kwa makubaliano ya kurudi kesho yake tena tukapanga muda mzuri wa kuanzia saa tano asubuhi hadi saa nane, wakati tunaagana nikafungua mkoba wangu na kumkabidhi kungwi shilingi elfu ishirini ya soda, akafurahi mno na kutusindikiza hadi barabarani.
Tukapanda teksi hadi nyumbani, njiani kote nikiwa ninafikiria jinsi ya mimi pia kuwa na kijitumbua na ngozi laini kama vile Kungwi, Hadija, Gululi na Fatuma tena kwakuwa nilikuwa ndiyo kwanza zilianza kuota basi nikaona ngoja nikanyoe nikirudi tu nyumbani.
Nilimwacha Hadija dukani kwake nikampa shilingi elfu thelathini kama gharama ya kukatisha mauzo yake ya siku na nilifika nyumbani na kumkuta mume wangu na baba wakiwa wanaongea pamoja, mume wangu akionekana kama vile anapinga jambo fulani kwa nguvu huku baba akimlazimisha, lakini nilipofika tu walibadilika na kujifanya wananichekea.
Nilijua hapo lazima walikuwa wakiongelea uchafu wa mume wangu tu na Fatuma, na waliponiona walikaa kimya ili eti nisijue chochote. Nilikasirika mno, nikapita zangu na kwenda kumtazama mwanangu Kendrick.
Baadaye nikachukua jivu jikoni na kuingia nalo chumbani nikajipaka vizuri na kusubiri nusu saa kama nilivyosikia kwa kungwi, tena mimi nikakaa lisaa lizima. Kisha nikaenda bafuni na maji yangu ya kuoga lakini lengo langu kubwa likiwa ni kujinyofoa vivuze vyangu niwe na kitumbua kinono.
Je, Mary atafanikiwa? Itaendelea..
NYOO NIPE MUMEO 43
Nilianza kwa kukivuta kinywele kimoja lakini aisee maumivu yake siyo mchezo, nilitamani kulia kwa jinsi kilivyouma, nikahisi nimetoka hadi na damu.
Nikajaribu kingine tena lakini hapana kiliuma kuliko kile cha mwanzo, sasa hicho ni kivuze kimoja tu ndiyo kiliuma hivyo sembuse kuvimaliza vyote ambavyo vipo zaidi ya milioni, hapana zoezi lilinishinda.
Tena pale nilipokinyofoa kile kivuze cha kwanza pakawa panavimba nakufanya kipele. Aisee ikabidi tu nioge zangu na kutoka chooni nikiwa nachechemea maana si kwa maumivu yale.
Nilirudi chumbani nikiwa nimekata tamaa kabisa ya kuwa na kipapito chenye mvuto kama wenzangu.
Nikaona kama Fatuma kapendewa hicho basi atanishinda tu. Nikarudi zangu chumbani na kuanza kujifuta na taulo huku nikijitazama mbele ya kioo nilivyoumbika.
Kwani lazima kila mwanamke awe na kipapito kilichoumuka kama Wamakonde waliochezwa! Nikajiangalia vizuri kipapito changu na kugundua kuwa mbona kilikuwa kizuri tu, ingawa hakijatuna. Tena kilikuwa kimebana kama vile herufi ‘w’, kiyoni changu kilikuwa kimejificha vizuri katikati na kikisimama kinachomoza vizuri kiasi kwamba enzi hizo Mr X alipokuwa akininyonya alikuwa haishi kunisifia jinsi nilivyokuwa na kipapito kizuri.
Tena mapaja yangu hayakubana yalikuwa yameacha kiuwazi fulani pale karibu na mlango wa bibi, nilikuwa na matege fulani hivi amaizing, ukichanganya na shepu yangu hakika mimi mzuri.
Au labda nilikuwa nimepungua tu huo utamu! au labda huyo Mr X alikuwa amenichoka tu hana lolote. Niliwaza yote hayo huku nikigeukageuka kujitazama kwenye kioo.
Hata hivyo maneno ya kungwi, kuwa baada ya kuzaa utamu unapungua kwa sababu njia inakuwa imelegea, yalikuwa yakinichanganya kweli, ikabidi nijitest kwa kujiingiza kidole kidogo na kupima ukubwa wangu ndani nikaona kukubwa kweli. Lakini kwa mdudyu wa mume wangu mbona niliona ananifiti tu vizuri ndani au inakuwaje? Nikapanga swali hilo nikamuulize Kungwi kesho.
NYOO NIPE MUMEO 44
Basi nikavaa zangu kanga na kulala kitandani na mwanangu, jioni hiyo nikapitiliza hadi usiku tena ndugu zangu ndiyo walikuja kuniamsha kwa chakula cha usiku. Wakati nilipotoka mume wangu alionekana kuwa na wasiwasi sana na mimi, akajua huenda nimepatwa na jambo.
Akanipakulia chakula na kunitaka twende kukaa uwani, basi akanishangaza kwa kuanza kunilisha chakula huku akinibembeleza kwa mahaba mazito hadi akanikumbusha enzi zetu zile.
Nilijua lazima tu alikuwa akijikomba tu maana wanaume wengi pindi wanapowasaliti wake zao hujifanya wanamapenzi sana utakuta hata kama hakwambiagi; I Love U, siku hiyo utasikia I Love U au atakuletea vizawadizawadi ili akuzuge usimshtukie.
Sasa nikaanza kujiuliza mume wangu alikuwa ametokea wapi siku hiyo maana niliporudi jioni sikumkuta au ndo alikuwa ametokea kufanya uzinzi na Fatuma?
Basi wakati yeye akiniongelesha maneno yake pale nje akinisifia na kujiapiza kunipenda siku zote za maisha yake, mimi kichwani nilikuwa navuta picha yeye akifanya mapenzi na Fatuma hasira zikanipanda.
“Hapana haiwezekani!” nilijikuta nikisema na kuinuka kwa hasira pale nilipokaa hadi mume wangu akashtuka na kuniuliza kulikoni.
Akanifuata pale niliposimama na kunitaka nimwambie kinachonisibu. Kwa wivu na uchungu niliokuwa nao nikatamani nimfungukie kuwa najua kila kitu wanachofanya na Fatuma, lakini nikakumbuka maneno ya mama aliyoniambia kuwa napaswa kuwa mvumilivu yakanijia nikatuliza hasira zangu.
“Hamna sina kitu!” niliongea maneno hayo huku machozi yakinitiririka.
“No, something is absolutely wrong with you, please tell me what is it! (hapana, lazima kuna kitu hakipo sawa kwako, tafadhali niambie ni nini).” “unanipenda kweli?” nilimuuliza huku bado mashavu yangu yakitiririsha machozi.
Akatabasamu kwanza kama anayonifanyia mazuri, halafu akatumia mikono yake kunifuta michirizi ya machozi mashavuni mwangu kisha akaniambia:
“Umenipa furaha kwenye maisha yangu, umenipa mtoto, umenipa mapenzi ambayo hakuna mwanamke ameweza kunipa. Yes I Love You so much and you Know it,” alisema na kunibusu midomoni.
NYOO NIPE MUMEO 45
Nikatamani kumuuliza; kama kweli ananipenda kwanini alikuwa anatembea na Fatuma? lakini nikaminya nikaona ngoja nimpime.
Unajua mwanaume akitoka kutembea na mwanamke mwingine siku hiyohiyo ukamwambia una hamu naye ya kususu, utamuona anazugazuga.
Sasa nikamvuta karibu mume wangu na kumpa denda kwanza palepale nje, halafu nikachukua mkono wake wa kulia na kumnyonya kidole chake katikati, tena nikawa nakinyonya kwa manjonjo kama vile nanyonya koni.
Nikajua tu lazima ishara yangu ameishaisoma, hiyo ni lugha yetu ya zamani ya mapenzi kuwa nikimnyonya kidole cha kati maana yake nina hamu yakufanya naye mapenzi lakini kwa staili za ajabuajabu ‘Wild sex’ yaani staili zisizohusu kitanda wala kuchezeana.
Nikamvuta taratibu naye akanifuata kwa nyuma, unajua nini nilimpeleka kule bondeni kwenye ile midizi ambayo alifanyaga mapenzi na Fatuma nikamuona kama anasitasita lakini nikamvuta kwa nguvu akajileta.
Kwa kuwa ilikuwa usiku kisehemu kile kilikuwa kizuri mno kilijificha mno, basi nikambana kwenye midizi akiwa anashangaashangaa.
Na mimi nilimfanyia kusudi kumleta hapo kumpima, kama atanifanya basi atakuwa hajalidhishwa na Fatuma siku hiyo, lakini kama hatasimamisha maana yake lazima tu atakuwa amekolezwa na Fatuma .
Nikamtazama usoni na kumfungua zipu na kumtoa jongoo wake aliyeinama kwa masikitiko kama amefiwa, nikapandisha gauni langu juu, tena ndani sikuvaa chochote nikamuinamia staili ya chuma mboga huku nimeshikilia shina la mgomba tena nikajipiga kikofi kwenye wowowo langu nikimtaka anishindue kisawasawa.
Nikatulia kimya na kuanza kuhesabu sekunde, nikiombea asishindwe kunifanya maana kama atashindwa nitaumia sana na sikuwa tayari kwa hilo. “Come on baby, bang me harder!” nilisema kumhamasisha.
Je, Mr X ataweza kusimama au atashindwa?
Post jibu lako kwa kukoment hapo chini.
Itaendelea..
NYOO NIPE MUMEO 46
“Mary una tatizo gani leo?” alisema mume wangu huku akifunga zipu yake na kunitoa pale kwenye lile eneo. Kweli nilithibitisha hana hisia kabisa na mimi na kweli alikuwa ametoka kunisaliti,si kitu kingine.
Hasira zilinipanda nikampiga kofi, nikamuona akishangaa kinafki, nikaingia ndani kwangu kwa hasira nikiwapita mama na baba waliokaa sebuleni wakitazama uchaguzi wa Marekani, nikachukua begi langu na kuondoka bila kujali kama ni usiku au lah.
Mume wangu aliyekuwa nje bado akijiuliza kwa kile kibao, alinishangaa nikimpita nikiwa na begi langu dogo mkononi.
“Mary! Nini kinaendelea? Unaenda wapi?” alisema Jermaine huku akijitahidi kunizuia lakini hapana sikutaka hata kidogo kuongea naye, lakini alinilazimisha nikaropoka. “Najua kila kitu kinachoendelea y’all jus bunch of hipocrates! Wote wanafki wakubwa!”
Baada ya kutupa dongo hilo nikamuona ameganda pale aliposimama kama amelowa maji ya baridi. Nikamuona mama ametoka nje na baba wakihangaika kuniita lakini sikugeuka wala kutazama nyuma nikaenda moja kwa moja barabarani na kupiga simu kwa Hadija.
Alipokea nikamuelezea kuwa nimegombana na mume wangu na nimeondoka nyumbani, nikamuomba japo nilale kwake kwa siku hiyo tu, akakubali na kunielekeza.
Basi nikapanda pikipiki hadi Mwananyamala nyuma ya Hospitali. Nikampigia akatoka nje na kunipeleka kwenye chumba alichopanga.
“He shoga ni yaleyale ya Fatuma au?” aliniuliza kwa shauku nikamuelezea ilivyokuwa akashangaa sana.
“Ndiyo hivyo bora ajue kuwa anachofanya siyo kizuri! Jamani polee!” alinibembeleza Hadija akanitayarishia maji ya kuoga nikaenda kuoga na kurudi ndani nikajilaza kitandani kwake, wakati huo yeye mwenyewe pia alienda kuoga na kurudi chumbani.
NYOO NIPE MUMEO 47
Kwa kuwa tulikuwa wote wanawake hakuona aibu. Akavua taulo na kuanza kujifuta maji taratibu. Nikiwa nimelala kitandani nikaanza kumchungulia kuona kipapatilo chake kimevimba kweli, kama alivyosema Bi Gululi?
Mh ilikuwa kweli kabisa, tena alikuwa mule mule kama alivyokuwa Bi. Gululi, hiyo ikazidi kunitia hasira mno, nikajiapiza kujifunza kwa bidii zaidi kwa Kungwi wangu hata kama sitakuwa na hicho kipapito kinene lakini angalau nifanye vizuri kwenye mafunzo yote na hiyo ndiyo iwe silaha yangu ya kupambana na Fatuma.
Tena nilijifikiria jinsi silaha hiyo ya mapenzi ilivyonikutanisha na Mr X kwa mara ya kwanza na kupata bahati ya kuolewa naye na kuishi Marekani. Sikufichi shoga yangu unayesoma hapa, mwanamke yoyote anaweza kuwa mtu yoyote duniani akiwa anajua mapenzi na akiwa na akili.
Kwani wangapi wameolewa na matajiri kwa mapenzi tu! Sembuse mimi ambaye kwanza ni mzuri tena nikiongezea na ujuzi wa mapenzi si ndiyo kabisa nikimuonjesha hata Obama anaweza kumkimbia mkewe?
Nililala usiku huo huku nimezima na simu yangu kabisa kwa sababu sikutaka usumbufu kutoka nyumbani. Kwa sababu nilijua mume wangu angenipigia usiku kucha, lakini hali kadhalika mama na ndugu zangu wengine.
Siyo siri nilimkumbuka sana mwanangu Kendrick lakini kwa sababu alikuwa na mama nilijisikia ahueni.
Nikapanga kuwa nikiwa chimbo najifunza siku namaliza tu mafunzo, nitaomba mechi mmoja tu na Mr X nimuoneshe utamu wangu na kama baada ya kumpa atachepuka tena Akyamungu naapa kuwa wanaume hawapendeki na hakuna mapenzi ya kweli ya kumtuliza mwanaume asichepuke.
NYOO NIPE MUMEO 48
Nililala hadi asubuhi wakati huo Hadija yeye ndiyo akanishangaza kusema hawezi kwenda kule kwa kungwi tena akataja sababu zake kama za jana eti hakuna mtu wa kumuacha dukani. Nikajua anataka nimpe hela na hana moyo wa kujifunza kama wangu.
Nikaamua kumuacha na mimi kuchukua begi langu na kuondoka zangu nikielekea kwa Kungwi Gululi uzuri nilikuwa na namba yake tayari na niliijua njia kwa hiyo sitaweza kupotea.
Nikapanda bajaji hadi Chanika Mwisho, nikashuka na kupita njia tulizopita jana yake na Hadija, uzuri nilikuwa nikizikumbuka vizuri, nikafika hadi nyumbani kwa Bibi Gululi, mwenyewe akishangaa nimefikaje peke yangu tena nikiwa na begi.
Basi nikamuelezea kwanza yaliyonitokea na nikamtoa hofu kuwa nitafikia kwenye gesti ya jirani na kukaa kwa siku saba mfululizo nikimuomba kunifundisha kila kipengele bila kuacha kitu. Huwezi amini Bibi Gululi alionekana kuwa mkarimu kweli, akaniambia ananikaribisha kuishi nao kwa siku hizo saba za mafunzo hapohapo nyumbani. Nikamshukuru sana, of coz nilimwambia kuhusu Hadija kutofika siku hiyo akashangaa.
“Usijali mwanangu, walio karibu yangu wanadharau, lakini utaona tu matokeo yake. Kama kweli una moyo, siku saba nyingi sana.” Alisema Kungwi akaingia ndani na kumuita yule mwanaye Gululi, aliponiona alifurahi na kunipokea begi langu.
Ilipofika saa tano kamili mafunzo yakaanza tukiwa mule ndani. Somo la kwanza lilikuwa ni jinsi ya kukatika kiuno na faida zake nje na ndani ya sita kwa sita.
Bi. Gululi akamwambia mwanaye aweke ngoma ya Sindimba kwenye simu yake, alipoiweka akaanza Bi.Gululi kukatika yeye kwanza, akaanzia juu huku amesimama, halafu taratibu akishuka chini hadi akachuchumaa huko kote kiuno chake kilionekana kilaini kikizunguka kwenye mhimili wake kama feni.

Image result for sexiest black girls

Chapisha Maoni

0 Maoni